Wednesday, February 29, 2012

mr blue is expecting a baby!!!!!!

mr blue is expecting a baby from her long time gal friend wahida mohamed.nyumbani kwetu blog is wishing u goodluck (picha from teen news)

Tuesday, February 28, 2012

Carnival 2012


                                                      got to love them girlssss

                                                      Hii mikono huku pembeni..mhhhhh
                                                    Doctor at work....
                                                                  Hizi ni swaga tuuuuu
                                                               The Twins.....
                                                                  Doctor
                                                                Happy girls....

my best dressed at the oscar's night

jennifer lopez

stacy keibler

angelina jolie


penelope cruz 













mpasuo wa angelina jolie umewapagawisha fans wake



angelina jolie aliibuka kwenye 84th  annual academy awards kavaa gauni lenye mpasuo mrefu ambao uliweza kuonesha mguu na paja lake ipasavyo kwa kitanzania ni mpasuo unaoitwa "siogopi mama wala baba" yani this woman stole the show kisawa sawa mpaka wamemtunga jina wanamwita leggy lady for me its shocking as i dnt see the reason of people kuzungumzia huo mpasuo kwenye all sourcess of media

Monday, February 27, 2012

happy birthday winnie!!!!!!

Yasmina; young, beautiful, educated and a loving mother

                                                                Yasmina
                           
                                                  Yasmina and her  Daughter Keri

                                                Classy 

Sunday, February 26, 2012

Ladies walipoamua kuiwakilisha Tanzania kwenye Football in Moscow Russia

                                               Timu yetu kabla ya Mechi
                                                                  wakiingia uwanjani

                                Timu ya Tanzania ikiwa uwanjani against Guinea Ecuatorial.

Timu ya Tanzania imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kutoka sare na Guinea Equatorial kwenye mechi yao ya mwisho. Mungu Ibariki Tanzania. 

Saturday, February 25, 2012

Happy Birthday Vanessa

                          

lil wayne new track fit bruno mars-mirrow ENJOY UR WEEKEND

it was so sweet on valentine day pale lil wayne alipomvisha demu wake pete  ya engagement na alipomuomba for hand in marrige demu hakupinga u cant belive it  lil wayne alishout  kwenye pub nzima "she said yes"n every body laughed oooh how sweet
huyo ndo demu mwenyewe hapo walikua miami wakila raha

Friday, February 24, 2012

happy birthday queen aka boss lady wishing you more years of happiness!!!!!!!!



mapenzi kizunguzungu

Men you can also try this hair style lolest!!!!!!!!!!!





Will Chris Brown Go to jail for 5 years!!!????

Mtandao wa mediatakeout umeandika kua Mwanamuziki Chris Brown anaweza kwenda jela kwa Miaka 5 kwa kosa la  kumnyang'anya simu msichana aitwaye Christal Spam. Christal ameeleza kua yeye na marafiki zake walikua wanamfatilia Chris na  kumpiga picha wakati anatoka club. Inasemekana Chris alimnya'nganya Simu Christal ili asiweze kuziweka picha hizo kwenye websites. God, sijui hizi habari ni za kweli!!?Crossing my fingers, Hope it's not true. 

Thursday, February 23, 2012

Rihanna and Chris Brown Reunion.....


nyimbo ya chris brown akimshirikisha rihanna -turn up the music
                      nyimbo ya rihanna akimshirikisha chris-Birthday cake
nikiongelea reunion naongelea nyimbo sio  mapenzi mmmh watu washafikiria vingine but may be soon or later it will be another story let keep hoping for the best

Wednesday, February 22, 2012

Je wajua?....Urusi wanasherehekea Men's Day leo Tar 23 feb

Tarehe 23.02 kila mwaka Warusi husherehekea sikukuu ya wanaume na watu hawaendi makazini wala shuleni kwa maana ni sikukuu kubwa ya Kitaifa. Sikukuu hii ni maalumu kwa kuwakumbuka wanaume wote waliopigana vita kuitetea nchi yao hasa vita ya pili vya Dunia ambapo wanaume wengi walipoteza maisha  kuitetea nchi yao dhidi ya Adolf Hitler aliyeivamia Urusi mwaka 1941 by then ikiitwa USSR. 
 Siku kama ya leo wanaume hua wanapewa zawadi mbalimbali, maua, kuimbiwa  nk (yaani kiujumla leo ni siku yao ya kudeka na kupewa full attention na kua treated like Kings)

   
   Leo wanawake wanaumiza vichwa kujua nini cha kununua au wafanye vipi kufanikisha sherehe hii. Happy Men's day to all Men living in Russia, and all over the world. 

CELEBRITIES COLOUR BLOCKING!!!!!

              MICHELLE OBAMA
                                         RI-RI
                                         mchizi wangu
Solange knowles
                                 cherly cole
                                                  jennifer hudson
                                          shingai shoniwa
                                            Alexandra burk
kim kardashian
                                 camilla Belle