Saturday, April 28, 2012

Trabzonspor 1-4 Galatasaray Highlights - 28 April 2012 - SuperLiga - Play Offs


Trabzonspor 1-4 Galatasaray Highlights - 28 April 2012 - SuperLiga - Play Offs
Trabzonspor have a great team and they to win the match Galatasaray but some how they were defeat from the in match by 1-4 goals difference it is not a good result for them during SuperLiga - Play Offs . Well its an other win against Trabzonspor by the Galatasaray 2nd Time in the League . Watch full match highlights and all goals videos from this match.
Goal Scorers :
20' [0 - 1] S. Inan
22' [0 - 2] N. Ates
42' [0 - 3] N. Ates
60' [1 - 3] G. Colman
62' [1 - 4] E. Eboué
85' [2 - 4] G. Colman (pen.)








Everton 4-0 Fulham Highlights - 28 April 2012 - Premier League


Everton 4-0 Fulham Highlights - 28 April 2012 - Premier League
This Saturday the team of the Everton totally dominates the match and scored 4 amazing goal to get all three points from the match their performance in the game is way better then the team of the Fulham . Fulham who try their luck many times but can not score enough goals in the game . Watch full match highlights from this match. All goals videos will be updated here just before the match will be over.
Goal Scorers :
7' [1 - 0] N. Jelavic (pen.)
16' [2 - 0] M. Fellaini
40' [3 - 0] N. Jelavic
61' [4 - 0] T. Cahill

Swansea City 4-4 Wolves Highlights - 28 April 2012 - Premier League



Swansea 4-4 Wolves Highlights - 28 April 2012 - Premier League
Swansea is looking for the match in the start of the game they have scored 4 important goals in the match and put themselves in the lead . Swansea have shown their best against any team this season they scored goals but concede 3 goals in the match . Watch full match highlights and all goals videos from this match. The match totally changed when the team of the Wolves Made a great come back to the match.
Goal Scorers :
1' [1 - 0] A. Orlandi
4' [2 - 0] J. Allen
15' [3 - 0] N. Dyer
28' [3 - 1] S. Fletcher
31' [4 - 1] D. Graham
33' [4 - 2] M. Jarvis
54' [4 - 3] D. Edwards
69' [4 - 4] M. Jarvis


WANASEMA IF YOU GOT IT, FLAUNT IT: NICKY SHOWS OFF HER HOURGLASS FIGURE IN STARSHIPS VIDEO



uongo mbaya huyu dada kajichonga vizuri aisee i know its not her really figure but she got it ma'aam its better of the surgery figure kuliko kuwa na yamchina maana ipo siku itachina lol,
That's how nicky dressed kwenye shooting ya video mpya ya starships iliyofanywa huko hawaiii she really rocks babyy!!

FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE KUONYEHSWA LIVE OLYMPIC STADIUM, MUNICH.

Olympic Stadium, Munich, Germany.
SHIRIKISHO la Soka barani Ulaya-UEFA limesema kuwa Uwanja wa Olimpiki uliopo jijini Munich, Ujerumani utaonyesha mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Bayern Munich itakapochuana na Chelsea katika Uwanja wa Allianz Arena Mei 19 mwaka huu. Beyern imepata maombi ya tiketi zaidi ya milioni ya mashabiki wakihitaji tiketi katika uwanja wao wa Allianz Arena ambapo klabu hiyo imepewa tiketi 17,000 katika uwanja huo wenye uwezo wa kuingiza mashabiki wapatao 66,000. Mashabiki ambao watakosa tiketi za kushudia mchezo huo sasa wataweza kuona mchezo huo moja kwa moja kupitia luninga katika uwanja wa Olimpiki ambapo tiketi zitakuwa zikiuzwa kwa euro tano moja katika viti 65,000 vilivyopo uwanja huo ambao ulikuwa ukitumiwa na Bayern kabla ya kuhamia Allianz Arena mwaka 2005. Hii ni mara ya kwanza kwa fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kuonyeshwa rasmi katika luninga uwanjani na tiketi zake kuuzwa katika mtandao.

BARCELONA YAPATA UDHAMINI KUTOKA THAILAND.

KLABU ya Barcelona imetangaza ratiba yake ya kufanya ziara nchini Thailand mwaka ujao baada ya kusaini mkataba wa udhamini wa miaka mitatu wenye thamani ya euro milioni 12 na Kampuni ya Thai Beverage. Makamu wa Rais wa klabu hiyo, Javier Faus amethibitisha ziara hiyo na kusema kwamba wana nia ya kuongeza mashabiki katika bara ya Asia hususani upande wa Kusini Mashariki mwa bara hilo. Faus amesema kuwa ziara hiyo ina manufaa makubwa kwao kwani hivi sasa wamejikusanyia mashabiki wengi zaidi barani Asia kuliko Ulaya hivyo wanatarajia kuweka mpango wa miaka 10-20 katika ukanda huo. Aliendelea kusema kuwa wamefurahishwa na Thailand kuwa nchi ya kwanza Asia kuwaunga mkono na mkataba walioingia utasaidia mashabiki nchini humo kuielewa klabu hiyo. Naye Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Sorrakit Latitham pia alieleza kuwa kampuni yake inajivunia kuandaa ziara ya klabu hiyo ambayo ndio inayohesabika kuwa ni klabu bora zaidi duniani kwa sasa.

WATUHUMIWA WA MABOMU SCOTTLAND WAHUKUMIWA MIAKA MITANO.

Neil Lennon
WATU wawili ambao walituma bomu kwenye barua kumwendea meneja wa klabu ya Celtic ya Scottland Neil Lennon wamehukumiwa vifungo vya miaka mitano jela. Watu hao ambao ni Trevor Muirhead na Neil McKenzie mara ya kwanza walikuwa wameshitakiwa na makosa ya kula njama za mauaji, lakini badala yake walihukumiwa na makosa ya kula njama za mashambulizi baada ya kutuma kifaa ambacho waliamini kwamba kingelipuka. Watu hao walituma mabomu hayo mwaka uliopita kwenda kwa Lennon, Mshauri wa Kisheria wa klabu ya Celtic Trish Godman na wakili wa Lennon ambaye ni marehemu anayeitwa Paul McBride. Vifurushi hivyo vya mabomu vilikamatwa kabla ya kuwafikia walengwa waliokusudiwa na havikulipuka.