Monday, May 28, 2012

FIFA YAIONYA KENYA KUHUSIANA NAMASULA YA VURUGU.


Patrick Naggi.



SHIRIKISHO la Soka la Kenya-FKF limepewa angalizo kuhusu suala la usalama na Shirikisho la Soka Duniani-FIFA kufuatia mchezo wa kutafuta tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Dunia 2014 dhidi ya Malawi unaotarajiwa kuchezwa mwishoni mwa wiki hii. FKF wamepewa maelekezo kuwepo kwa ulinzi wa kutosha siku ya mchezo huo kwani vurugu zozote za mashabiki zitakazotokea siku zitapelekea nchi hiyo kufungiwa kuandaa mechi za kimataifa katika uwanja wake wa nyumbani. Mapema FIFA waliiadhibu Kenya kabla ya kukata rufani na kuwapa onyo kali kuhusu suala la vurugu za mashabiki kutokea katika michezo mingine katika siku zijazo. Adhabu hiyo ilikuja wakati FIFA ilipoufungia Uwanja wa Nyayo kutokana na vurugu zilizotokea ambapo baadae uliachiwa na kupewa onyo hilo baada ya kukata rufani. Lakini Mkurugenzi wa Kamati ya Ufundi ya FKF, Patrick Naggi amesema kuwa suala la ulinzi wakati wa mchezo huo halina tatizo lolote kwani wamehakikisha kutakuwa na wana usalama wa kutosha pamoja na ulinzi wa ziada kutokana na vitisho vya kundi la Al Shabaab la Somalia.

Sunday, May 27, 2012

F1 2012 Monte Carlo Grand Prix Live Stream Monaco GP - 2 May


F1 ( Formula One ) 2012 Monaco Grand Prix Live Stream Monte Carlo GP - 2 May
Formula One 2012 Monaco will start on this Sunday and one of the most important grand prix because from last 4-5 grand prix in each race there is a different winner in each event of race this year. Will there is new Pole Positions in the Monte Carlo Grand Prix its difficult to say that because this time more actions and more racing fever for the Formula One fans because one of the most tough tracks to run the F1 Car.

Watch this race online here. All the live streaming links to watch this will be added here just before the race start .

Chennai Super Kings vs Kolkata Knight Riders IPL 2012 Final Live Score - 27 May 2012


Chennai Super Kings vs Kolkata Knight Riders IPL 2012 Final Live Score - 27 May 2012
Chennai Super Kings were lucky as the Royal Challangers lose the match from the Decen chargers and the Chennai Super Kings have qualifiedly for the Semi finals . The team of the Chennai Super Kings make it once again to the finals they are 2 times already win this trophy and they were ready to take 3rd time but difficult to say.

On the other side the team of Shahrukh Khan (King Khan) he is in different Conturesies and this week he will face the big final of his life Kolkata Knight Riders . Kolkata Knight Riders are good team and they have some of the top bowlers and players options for the today game watch the match all the action live from this match. All the live score updates from this match will be updated here during the game.

USA 5-1 Scotland Highlights Friendly - 26 May 2012


USA 5-1 Scotland Highlights Friendly - 26 May 2012
USA will take on the play their match against the Scotland this week its going to be the tough match for the team of the USA because Scotland got some of the most popular players and they will try to defeat the opponents USA. USA have a great team players and they always give tough time their opponents and they were ready to finish this match with a win against the Scotland .

Watch this match live online here , all the live streaming links to watch this match . All the highlights and goals videos will be updated here.
USA 5-1 Scotland Highlights Goals Videos

French Open 2012 Final Highlights Roland Garros Tennis Online Free - 23 May 2012


French Open 2012 Final Highlights Roland Garros Tennis Online Free - 23 May 2012
French Open 2012 is coming up the next most important event in the May and June season for the Tennis fans where the all big players will take a part in the matches .But Before it will be kicked off there are some Qualifers match has been played among some players. Roger Fedrer , Rafael Nadal , Novak Dojokovic are the tough competitors but a new entry John Isner is looking in good form and looking to snatch the 1st title of the year in the Main event.

Watch this event French Open 2012 Roland Garros Tennis Live Online Free and all the updates and match scores will be listed here so stay tuned for the updates and news from the Tennis Court.

Rafael Nadal Crowned To be Champion of French Open 2012 :

WAZEE YANGA WAGONGA UKUTA TENA, INABIDI WASUBIRI MKUTANO MKUU ILI WAWEZE KUFANYA MAAMUZI.


 

Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana Mei 26 mwaka huu ili kutoa mwongozo wa nini kifanyike ndani ya Yanga baada ya wajumbe wake kudhaa kujiuzulu. Kamati ya Uchaguzi ya Yanga ilikuwa imeomba mwongozo huo TFF. Baada ya kupata taarifa rasmi kutoka Yanga, Kamati imebaini kuwa Kamati ya Utendaji ya Yanga imekosa akidi baada ya wajumbe wake wengi kujiuzulu hivyo kutokuwa na uwezo wa kufanya uamuzi kwa mujibu wa Ibara ya 32(1) ya Katiba ya klabu hiyo. Hivyo, Kamati imetoa mwongozo kwa Kamati ya Uchaguzi ya TFF ambayo ndiyo msimamizi wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga kuwa ili Kamati ya Utendaji ya Yanga iwe na nguvu za kikatiba kufanya shughuli zake ikiwemo uamuzi wa masuala mbalimbali ndani ya klabu hiyo ni lazima iwe na akidi. Kwa mujibu wa Ibara ya 29(3) ya Katiba ya Yanga nafasi zilizo wazi katika Kamati ya Utendaji zinatakiwa kujazwa katika Mkutano Mkuu wa Kawaida ujao. Pia Kamati imebaini uteuzi wa kujaza nafasi zilizo wazi za wajumbe uliofanywa na Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mei 21 mwaka huu ni batili kwa vile Kamati ya Utendaji iliyofanya uteuzi huo haikuwa na akidi. Ili kupata akidi na kufanya uamuzi Kamati ya Utendaji ya Yanga yenye wajumbe 13 inatakiwa kuwa na asilimia 50 ya wajumbe wote, hivyo ili wafanye uamuzi halali hawatakiwi kupungua saba. Kwa wajumbe ambao hawajajiuzulu; Sarah Ramadhan, Mohamed Bhinda, Tito Osoro na Salim Rupia kwa sasa hawawezi kufanya shughuli zozote za Yanga hadi nafasi zilizo wazi katika Kamati ya Utendaji zitakapojazwa. Kama inavyoelekeza Katiba ya Yanga, shughuli za kila siku za klabu hiyo zitaendelea kufanywa na Sekretarieti ya Yanga ambayo kiongozi wake ni Katibu Mkuu.

KILA LA KHERI TWIGA STARS,


 

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake Tanzania, Twiga Stars leo inatarajiwa kushuka dimbani kwenye Uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia kumenyana na wenyeji Ethiopia katika mechi ya kwanza ya kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake. Twiga iliyoondoka nchini Alhamisi na msafara wa watu 24 wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi itacheza na Ethiopia, imepania kufanya vizuri leo, ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kufuzu kwenye Fainali hizo za Nane za Kombe la Afrika kwa Wanawake -AWC zitakazofanyika Novemba mwaka huu, Equatorial Guinea. Baada ya mechi ya leo, Addis Ababa, timu hizo zitarudiana Juni 16 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Twiga Stars ikifanikiwa kuitoa Ethiopia itakuwa imekata tiketi ya kwenda Equatorial Guinea. Wachezaji waliopo katika kikosi cha Twiga ni Amina Ally, Asha Rashid-nahodha, Esther Chabruma, Ettoe Mlenzi, Evelyn Sekikubo, Fadhila Hamad, Fatuma Bashiri, Fatuma Khatib, Fatuma Mustafa, Fatuma Omari, Maimuna Said, Mwajuma Abdallah, Mwanahamisi Omari, Mwanaidi Tamba, Mwapewa Mtumwa, Rukia Hamis, Semeni Abeid na Zena Khamis. Kwa upande wa Benchi la Ufundi ni Charles Mkwasa (Kocha Mkuu), Nasra Mohamed (Kocha Msaidizi), Furaha Francis-Meneja wa Timu